Saturday, March 31, 2018

Mhe. Mkuu wa Mkoa Dr. Rehema Nchimbi katika kipindi cha TUNATEKELEZA cha TBC1




Mhe. Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto) akiwa na Mtangazaji wa TBC1 Bi. Eshe Mwidini akieleza Utekeleza katika sekta mbalimbali uliofanyika katika Serikali ya Mkoa wa Singida kwa wananchi wake wakati wa kutengeneza kipindi cha TUNATEKELEZA kinachorushwa na TBC1 kila Jumatatu saa 1:00 usiku.

 Muongozaji wa picha (Director) kipindi cha TUNATEKELEZA David Lukanga akiwa na  Mpiga picha wa TBC1 Oliver Kubaga wakati wa kutengeneza kipindi.


Mhe. Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto) akiwa na Mtangazaji wa TBC1 Bi. Eshe Mwidini wakifurahia jambo wakati wa kutengeneza kipindi cha TUNATEKELEZA kinachorushwa na TBC1 kila Jumatatu saa 1:00 usiku.

Mhe. Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto) akiwa na Mtangazaji wa TBC1 Bi. Eshe Mwidini akieleza kwa msisitizo Utekeleza katika sekta mbalimbali uliofanyika katika Serikali ya Mkoa wa Singida kwa wananchi wake wakati wa kutengeneza kipindi cha TUNATEKELEZA.


Mhe. Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto) akiwa na Mtangazaji wa TBC1 Bi. Eshe Mwidini akijibu maswali ya Utekeleza katika sekta mbalimbali yaliofanyika katika Serikali ya Mkoa wa Singida kwa wananchi wake wakati wa kutengeneza kipindi cha TUNATEKELEZA.


Mhe. Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na timu nzima inayotengeneza kipindi cha TUNATEKELEZA mara baada ya kuhitimisha mahojiano.  Kutoka kulia ni Mpiga picha wa TBC1 Oliver Kubaga, Mtangazaji wa TBC1 Bi. Eshe Mwidini na Muongozaji wa picha (Director) kipindi cha TUNATEKELEZA David Lukanga.


UTEKELEZAJI KISEKTA KATIKA MIRADI ILIYOZUNGUMZIWA


 SEKTA YA AFYA
Ujenzi na ukarabati wa Hospitali mpya ya Rufaa 

  Jengo la Wagonjwa wa nje, Wazazi na Watoto


 


 Jengo la Uchunguzi wa Wagonjwa








 
 Ziwa Singidani


Ukarabati wa Majengo ya Kituo cha Afya Sokoine

 Ukarabati wa Majengo ya Kituo cha Afya Sokoine ukiendele


 Ukarabati wa Majengo ya Kituo cha Afya Sokoine ukiendelea


SEKTA YA VIWANDA














SEKTA YA ELIMU



SEKTA YA KILIMO


SEKTA YA MAJI 




MAZINGIRA

Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi ashiriki kikamilifu katika kipindi cha TUNATEKELEZA na kueleza wananchi namna ambavyo Serikali walivyo simamia utekelezaji  wa  miradi mbalimbali ya Maendeleo kulingana na sekta husika ikiwemo; Afya, Elimu, Maji, Miundombinu, Kilimo, Hifadhi ya Misitu Viwanda na Biashara, Umeme /Nishati, Mazingira, Utalii, na Mapambano dhidi ya Rushwa pamoja na masuala yote yanayogusa ustawi wa Wananchi mkoani Singida.

Akizungumza wakati wa kurekodi kipindi maalum cha TUNATEKELEZA kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania  (TBC1) Mkuu wa mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi  alisema kuwa Serikali ya mkoa imekuwa na juhudi za kuboresha utoaji wa huduma za sekta ya Afya, Elimu na sekta  zingine kwa wananchi wake kikamilifu. 

Kwa habari zaidi tuungane pamoja siku ya Jumatatu saa 1:00 usiku katika kipindi cha TUNATEKELEZA (TBC1) kipindi ambacho kinaonyesha na kueleza tathmini ya utendaji kazi wa wakuu wa mikoa ambapo Jumatatu hii tarehe 02/04/2018 tutakuwa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Singida Dkt. Rehema Nchimbi kueleza wananchi namna ambavyo Serikali ya awamu ya tano ilivyo simamia utekelezaji  wa  miradi mbalimbali ya Maendeleo mkoani Singida.

Ahsante




No comments:

Post a Comment