Wednesday, March 08, 2017

WAZIRI UMMY MWALIMU AING'ARISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI SINGIDA.(PICHA).

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akikata utepe kuzindua kituo na kiwanda cha kuongeza thamani ya mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa shirika la UN Women Tanzania  Maria Karadenizli.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akitazama jiwe la msingi la kiwanda na kituo cha kuongeza thamani mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa wilaya ya Singida.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakikagua hatua za uongezaji wa thamani wa mazao ya nafaka kama mahindi, mtama na uwele katika kiwanda kinachomilikiwa na kikundi cha akina mama VICOBA wa Wilaya ya Singida.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakikagua kiwanda cha mafuta  cha Mount Meru Millers kilichopo mjini Singida, kiwanda hicho huzalisha mafuta ya alizeti ambayo ni mazuri kwa afya.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akionyesha ndoo ambayo ni kifungashio cha mafuta ya alizeti yanayozalishwa katika kiwanda cha mount Meru millers Mkoani Singida.

Akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi huku wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani.

Akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi huku wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani.

Mbunge wa Viti maalum CCM mkoa wa Singida Aisharose Matembe (aliyevaa vitenge)akiwa na akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akikagua kitanda cha chumba cha upasuaji katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Singida katika maadhimisho ya siku ya  wanawake duniani.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akiongozana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta John Mwombeki (kulia) na mbunge wa viti maalumu CCM mkoa wa Singida Aisharose Matembe (kushoto) mara baada ya kukagua jengo la utambuzi wa magonjwa la hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Singida.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akiongozana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta John Mwombeki (kulia) na mbunge wa viti maalumu CCM mkoa wa Singida Aisharose Matembe (kushoto) mara baada ya kukagua jengo la utambuzi wa magonjwa la hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Singida.

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akipanda viazi katika eneo la kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mbunge wa viti maalumu  CCM Mkoa wa singida Aisharose Matembe na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa shirika la UN women Tanzania  Maria Karadenizli  huku wa kwanza kabisa kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi .


Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akipanda mti katika eneo la kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa wilaya ya Singida katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

No comments:

Post a Comment