Friday, August 18, 2017

KUMBUKUMBU NZURI YA IGP SIRRO NA WAANDISHI WA HABARI SINGIDA.

Mwandishi wa Habari wa ITV/Radio One Mkoa wa Singida Elisante Mkumbo akifurahia wakati akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Polisi Nchini IGP Simon Sirro.
 
Mwandishi wa Habari wa Startv/Radio Free Africa Mkoa wa Singida Emmanuel Michael akifurahia wakati akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Polisi Nchini IGP Simon Sirro.
 
Mwandishi wa Habari wa Habarileo/Daily News Mkoa wa Singida Abby Nkungu akifurahia wakati akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Polisi Nchini IGP Simon Sirro.

No comments:

Post a Comment