Thursday, February 19, 2015

UTEUZI WA WAKUU WA WILAYA WAPYA.

 RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani. 
 
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI jana mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana na wakuu wa wilaya watatu kufariki dunia; kupandishwa cheo wakuu wa wilaya watano, kupangiwa majukumu mengine wakuu wa wilaya saba na kutenguliwa kwa uteuzi wa wakuu wa wilaya 12. 
 
Hata hivyo, Waziri Mkuu alisema, Rais Kikwete amewabadilisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 64 na kuwabakiza kwenye vituo vyao vya zamani wakuu wa wilaya 42.

Wakuu wa Wilaya ambao uteuzi wao umetenguliwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo umri, afya na nyinginezo ni hawa hapa;
  1. James Kisota Ole Millya- Longido
  2. Elias Wawa Lali- Ngorongoro
  3. Alfred Ernest Msovella- Kongwa
  4. Dany Beatus Makanga- Kasulu
  5. Fatma Losindilo Kimario- Kisarawe
  6. Elibariki Emanuel Kingu- Igunga
  7. Dr. Leticia Moses Warioba- Iringa
  8. 8. Evarista Njilokiro Kalalu- Mufindi
  9. Abihudi Msimedi Saideya- Momba
  10. Martha Jachi Umbula- Kiteto
  11.  Khalid Juma Mandia- Babati
  12. Eliasi Goroi Boe Boe Goroi – Rorya
Wakuu wa Wilaya walioteuliwa;
  1. Mariam Ramadhani Mtima- Ruangwa
  2. Dkt. Jasmine B. Tiisike- Mpwapwa
  3. Pololeti Mgema- Nachingwea
  4. Fadhili Nkurlu- Misenyi
  5. Felix Jackson Lyaniva- Rorya
  6. Fredrick Wilfred Mwakalebela- Wanging’ombe
  7. Zainab Rajab Mbussi- Rungwe
  8. Francis K. Mwonga- Bahi
  9. Col. Kimiang’ombe Samwel Nzoka- Kiteto
  10. Husna Rajab Msangi- Handeni
  11. Emmanuel Jumanne Uhaula- Tandahimba
  12. Mboni Mhita- Mufindi
  13. Hashim S. Mngandilwa- Ngorongoro
  14. Mariam M. Juma- Lushoto
  15. Thea Medard Ntara- Kyela
  16. Ahmad H. Nammohe- Mbozi
  17. Shaban Kissu- Kondoa
  18. Zelote Stephen- Musoma
  19. Pili Moshi- Kwimba
  20. Mahmoud A. Kambona- Simanjiro
  21. Glorius Bernard Luoga- Tarime
  22. Zainab R. Telack- Sengerema
  23. Bernard Nduta- Masasi
  24. Zuhura Mustafa Ally- Uyui
  25. Paulo Makonda- Kinondoni
  26. Mwajuma Nyiruka- Misungwi
  27. Maftah Ally Mohamed- Serengeti
 Wakuu wa Wilaya Waliobadilishwa vituo vya kazi
  1. Nyerembe Deusdedit Munasa- Ametoka Arumeru amehamishiwa Mbeya
  2. Jordan Mungire Obadia Rugimbana- Ametoka Kinondoni amehamishiwa Morogoro
  3. Fatma Salum Ally- Ametoka Chamwino amehamishiwa Mtwara
  4. Lephy Benjamini Gembe- Ametoka Dodoma Mjini amehamishiwa Kilombero
  5. Christopher Ryoba Kangoye- Ametoka Mpwapwa amehamishiwa Arusha
  6. Omar Shaban Kwaang’- Ametoka Kondoa amehamishiwa Karatu
  7. Francis Isack Mtinga- Ametoka Chemba amehamishiwa Muleba
  8. Elizabeth Chalamila Mkwasa- Ametoka Bahi amehamishiwa Dodoma
  9. Agnes Elias Hokororo (Mb)- Ametoka Ruangwa amehamishiwa Namtumbo
  10. Regina Reginald Chonjo- Ametoka Nachingwea amehamishiwa Pangani
  11. Husna Mwilima- Ametoka Mbogwe amehamishiwa Arumeru
  12. Gerald John Guninita- Ametoka Kilolo amehamishiwa Kasulu
  13. Zipporah Lyon Pangani- Ametoka Bukoba amehamishiwa Igunga
  14. Issa Suleimani Njiku- Ametoka Missenyi amehamishiwa Mlele
  15. Richard Mbeho- Ametoka Biharamulo amehamishiwa Momba
  16. Lembris Marangushi Kipuyo- Ametoka Muleba amehamishiwa Rombo
  17. Ramadhani Athuman Maneno- Ametoka Kigoma amehamishiwa Chemba
  18. Venance Methusalah Mwamoto- Ametoka Kibondo amehamishiwa Kaliua
  19. Gishuli Mbegesi Charles- Ametoka Buhigwe amehamishiwa Ikungi
  20. Novatus Makunga- Ametoka Hai amehamishiwa Moshi
  21. Anatory Kisazi Choya- Ametoka Mbulu amehamishiwa Ludewa
  22. Christine Solomoni Mndeme- Ametoka Hanang’ amehamishiwa Ulanga
  23. Jackson William Musome- Ametoka Musoma amehamishiwa Bukoba
  24. John Benedict Henjewele- Ametoka Tarime amehamishiwa Kilosa
  25. Norman Adamson Sigalla- Ametoka Mbeya amehamishiwa Songea
  26. Michael Yunia Kadeghe- Ametoka Mbozi amehamishiwa Mbulu
  27. Crispin Theobald Meela- Ametoka Rungwe amehamishiwa Babati
  28. Magreth Ester Malenga- Ametoka Kyela amehamishiwa Nyasa
  29. Said Ali Amanzi- Ametoka Morogoro amehamishiwa Singida
  30. Antony John Mtaka- Ametoka Mvomero amehamishiwa Hai
  31. Elias Choro John Tarimo- Ametoka Kilosa amehamishiwa Biharamulo
  32. Francis Cryspin Miti- Ametoka Ulanga amehamishiwa Hanang’
  33. Hassan Elias Masala- Ametoka Kilombero amehamishiwa Kibondo
  34. Angelina Lubalo Mabula- Ametoka Butiama amehamishiwa Iringa
  35. Farida Salum Mgomi- Ametoka Masasi amehamishiwa Chamwino
  36. Wilman Kapenjama Ndile- Ametoka Mtwara amehamishiwa Kalambo
  37. Ponsian Damiano Nyami- Ametoka Tandahimba amehamishiwa Bariadi
  38. Mariam Sefu Lugaila- Ametoka Misungwi amehamishiwa Mbogwe
  39. Mary Tesha Onesmo- Ametoka Ukerewe amehamishiwa Buhigwe
  40. Karen Kemilembe Yunus- Ametoka Sengerema amehamishiwa Magu
  41. Josephine Rabby Matiro- Ametoka Makete amehamishiwa Shinyanga
  42. Joseph Joseph Mkirikiti- Ametoka Songea amehamishiwa Ukerewe
  43. Abdula Suleiman Lutavi- Ametoka Namtumbo amehamishiwa Tanga
  44. Ernest Ng’wenda Kahindi- Ametoka Nyasa amehamishiwa Longido
  45. Anna Rose Ndayishima Nyamubi- Ametoka Shinyanga amehamishiwa Butiama
  46. Rosemary Kashindi Kirigini (Mb)- Ametoka Meatu amehamishiwa Maswa
  47. Abdallah Ali Kihato- Ametoka Maswa amehamishiwa Mkuranga
  48. Erasto Yohana Sima- Ametoka Bariadi amehamishiwa Meatu
  49. Queen Mwanshinga Mulozi- Ametoka Singida amehamishiwa Urambo
  50. Yahya Esmail Nawanda- Ametoka Iramba amehamishiwa Lindi
  51. Manju Salum Msambya- Ametoka Ikungi amehamishiwa Ilemela
  52. Saveli Mangasane Maketta- Ametoka Kaliua amehamishiwa Kigoma
  53. Bituni Abdulrahman Msangi- Ametoka Nzega amehamishiwa Kongwa
  54. Lucy Thomas Mayenga- Ametoka Uyui amehamishiwa Iramba
  55. Majid Hemed Mwanga- Ametoka Lushoto amehamishiwa Bagamoyo
  56.  Muhingo Rweyemamu- Ametoka Handeni amehamishiwa Makete
  57.  Hafsa Mahinya Mtasiwa- Ametoka Pangani amehamishiwa Korogwe
  58. Dr. Nasoro Ali Hamidi- Ametoka Lindi amehamishiwa Mafia
  59. Festo Shemu Kiswaga- Ametoka Nanyumbu amehamishiwa Mvomero
  60.  Sauda Salum Mtondoo- Ametoka Mafia amehamishiwa Nanyumbu
  61.  Seleman Mzee Seleman- Ametoka Kwimba amehamishiwa Kilolo
  62.  Esterina Julio Kilasi- Ametoka Wanging’o mbe amehamishiwa Muheza
  63.  Subira Hamis Mgalu- Ametoka Muheza amehamishiwa Kisarawe
  64. Jacqueline Jonathan Liana-Ametoka Magu amehamishiwa Nzega.

No comments:

Post a Comment